TEACHER MWAKIGOBE

COMMERCE LESSON NOTES

Sunday, April 3, 2011

TANZANIA NA TIBA YA KIKOMBE.

Nimekaa na kutafakari na kupata msukumo wa kuhoji, hii tiba ya vikombe hatma yake ni ipi? na je asinge anza kujitokeza Mchungaji wa Loliondo wengine wangejitokeza?. Au hawa waganga wengine wamejitokeza baada ya kuona watu wana imani na dawa ya mwaisapile?


Mi nadhani tunatakiwa kuwa makini kwa matukio haya ya kuibuka kwa hawa watu wanaojinadi kuwa wameoteshwa na Mungu kutibu magonjwa sugu. Alipo anza babu wa Loliondo sikuwa na shaka ila sasa wasiwasi unanijia baada ya kusikia eti huko mbeya kuna babu dogo ,nae anatumia kikombe, huko Tabora nako kuna Bobi kikombe na pengine ambapo sijapataja.


hofu yangu ni kuwa hii sasa inaweza ikawa ni fasheni na watu wanataka umaarufu.

pia naishukura sana serikali kufuatilia kwa ukaribu matukio haya ya matibabu ya vikombe.


Ushauri wangu kwa wadau ni kuwa pale Loliondo pajengwe mnara wa kumbukumbu kwani hii sio ishu ndogo.
Posted by mwakigobe at 1:57 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

0755 369 314

Blog Archive

  • ►  2018 (1)
    • ►  March (1)
  • ►  2015 (8)
    • ►  June (1)
    • ►  May (7)
  • ▼  2011 (3)
    • ▼  April (3)
      • SIASA, WANASIASA NA MADARAKA
      • can you separate qualitative reseaarch design from...
      • TANZANIA NA TIBA YA KIKOMBE.
Simple theme. Powered by Blogger.